Testo Tanzania - Harmonize
Testo della canzone Tanzania (Harmonize), tratta dall'album Muziki Wa Samia
Tanzania
Nchi yangu
Mama Samia
Rais wangu
Hussen Mwinyi
Rais wangu
Amani upendo
Ndio ngao yangu
Tanzania
Nchi yangu
Mama Samia
Rais wangu
Hussen Mwinyi
Rais wangu
Bara na visiwani wee
Mambo ni sawa
Shetani alaaniwe
Asije tugawa
Tumuenzi Nyerere
Abeid Amani Karume
Wapiga kelele
Acha roho ziwaume
Naipenda Tanzania
Hasa hasa ya samia
Naipenda Tanzania
Tanzania ya samia
Mungu tubariki baba
Amen, amen, amen
Tanzania
Nchi yangu
Mama Samia
Rais wangu
Hussen Mwinyi
Rais wangu
Amani upendo
Ndio ngao yangu
Ni furaha
Ni furaha
Kuzaliwa Tanzania
Ni furaha
Nina furaha
Ni furaha
Najivunia Tanzania
Ni furaha
Bara na visiwani wee
Mambo ni sawa
Shetani alaaniwe
Asije tugawa
Tumuenzi Nyerere
Abeid Amani Karume
Wapiga kelele
Acha roho ziwaume
Naipenda Tanzania
Hasa hasa ya samia
Naipenda Tanzania
Tanzania ya samia
Mungu tubariki baba
Credits
Writer(s): Rajabu Ibrahim Abdulkahali
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Disclaimer:
i testi sono forniti da Musixmatch.
Per richieste di variazioni o rimozioni è possibile contattare
direttamente Musixmatch nel caso tu sia
un artista o
un publisher.