Testo Njiwa - Willy Paul feat. Nandy
Testo della canzone Njiwa (Willy Paul feat. Nandy), tratta dall'album Njiwa
Wily wily wily willypozee
na nandy dandy
Kama utaenda angalia pa kutua
Kwenye bati au bustani ya maua
Mwambie nampenda ananisumbua
Mwambie nampenda japo kauchubua njiwa
Peleka salamu salamu zangu
me sina khali naona mawingu
nyota nyota mwezi kizunguzungu
Khali sio shwari haki ya Mungu
Nimeshazama kwenye penzi naweza sema nimepagawa
Mwambie sijiwezi ohhhh
Where are you ×3 njiwa) ×2
Njiwa njiwa×4
Mwambie sio chakula tu hata maji me sinywi
Mpaka anatuma watu kina Jose Mbilinyi
Na hizo kauli zake tu ananikata maini
Anacheza karata tatu hata aniamini
Nimeshazama kwenye penzi waweza sema nimepagawa
mwambie sijiwezi aje mapema anipe dawa
Nimeshazama kwenye penzi waweza sema nimechachama
mwambie sijiwezi aje mapema anipe dawa
(BACK TO CHORUS ×3)
Credits
Writer(s): Wilson Abubakar Radido
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Disclaimer:
i testi sono forniti da Musixmatch.
Per richieste di variazioni o rimozioni è possibile contattare
direttamente Musixmatch nel caso tu sia
un artista o
un publisher.