Testo Mapepe - Jux
Testo della canzone Mapepe (Jux), tratta dall'album The Love Album
Labda uliza moyo wangu
Ndo umenifanya mi nifike mapema
Mama uliza moyo wangu
Unavonitesa imenibidi kusema eeeh
Zamani
Toka zamani mama
Kuwa na ndoto siku moja ukae nyumbani
Usikatishe penzi ghafla ndo Kwanzaa penzi letu linago tu
Kama shida wote tumepata Sasa unachokitaka unakipa boo!
Usilikatishe penzi letu maana kwanza linago tu
Unachokitaka unakipata Sasa!
Aaaaaah mapepe ya nini?(Pepe)
Mapepe ya nini?(Pepe)
Mapepe ya nini?
Nishatulizana nawe punguza mapepe
Aaaaaah mapepe yanini?(Pepe)
Mapepe ya nini?(Pepe)
Mapepe ya nini?
Nishatulizana nawe punguza mapepe
...!!!
Mama serebu
Africa mama serebu
Mziki una matter shebeduka napenda ile vidole uking'ata macho juu
Mmmmh
Yako thamani ni zaidi ya dhahabu
Nafanya hisani usije pata tabu
Zamani
Toka zamani mama
Kuwa na ndoto siku moja ukae nyumbani
Usikatishe penzi ghafla ndo Kwanzaa penzi letu linago tu
Kama shida wote tumepata Sasa unachokitaka unakipa boo!
Usilikatishe penzi letu maana kwanza linago tu
Unachokitaka unakipata Sasa!
Aaaaaah mapepe ya nini?(Pepe)
Mapepe ya nini?(Pepe)
Mapepe ya nini?
Nishatulizana nawe punguza mapepe
Aaaaaah mapepe yanini?(Pepe)
Mapepe ya nini?(Pepe)
Mapepe ya nini?
Nishatulizana nawe punguza mapepe
Acha iendee
Acha iendee
Punguza mapepe
Credits
Writer(s): Salmin Kasimu Maengo, Mussa Mkambala Juma
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Disclaimer:
i testi sono forniti da Musixmatch.
Per richieste di variazioni o rimozioni è possibile contattare
direttamente Musixmatch nel caso tu sia
un artista o
un publisher.