Testo Malikia - Sauti Sol
Testo della canzone Malikia (Sauti Sol), tratta dall'album Sol filosofia
Wengi wao wamenyosha mikono
Wataka upokezi toka kwako
Na hata wenye magari ya kifahari
Najua kwako wewe hawatoshi
Usinilenge
Usinipelekepeleke huku na kule
Uje unipende
Uje hata nao mapacha unizalie
Njoo nikumiliki milele
Malikia tuoane
Wewe ni mi
Mimi ni wewe
Na milele tupendane
Usinifungie pazia
Malikia nakuita
Usinifungie pazia
Malikia nakuita
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje, uje
Mabepari wasio na mapenzi halali
Watazidi kukunoki hoi
Na hata wenye magari ya kifahari
Najua kwako wewe hawatoshi
Usinilenge
Usinipelekepeleke huku na kule
Uje unipende
Uje hata nao mapacha unizalie
Njoo nikumiliki milele
Malikia tuoane
Wewe ni mi
Mimi ni wewe
Na milele tupendane
Usinifungie pazia
Malikia nakuita
Usinifungie pazia
Malikia nakuita
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje, uje
Malikia, karibia
Malikia, karibia
Malikia, karibia
Malikia, karibia
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje, uje
Credits
Writer(s): Willis Austin Chimano, Bien Aime Baraza Alusa, Delvin S Mudigi, Polycarp O Otieno
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Disclaimer:
i testi sono forniti da Musixmatch.
Per richieste di variazioni o rimozioni è possibile contattare
direttamente Musixmatch nel caso tu sia
un artista o
un publisher.