Testo Inanimaliza - Harmonize feat. Mr. Blue
Testo della canzone Inanimaliza (Harmonize feat. Mr. Blue), tratta dall'album AfroEast
First time when I saw you nilitamani nikueleze
How I feel that was dream come true
Alau macho nikukonyeze maybe you can feel asuu
moyo ungekuaga kitabu ningefunia uone yaliyomo ndani
Yani mwenzako napata tabu sina furaha ata tone
nioneege imani oh my love (Ooohoo}
Macho yanaona kama umejibu yes, moyo unaona kama umeseme no ooh ooh
Macho yanaona kama umejibu yes, moyo unaona kama umesema no oooh
Nonono kusema kweli mi inaniumiza inanimaliza na sijamaliza
Inaniumiza inanimaliza na sijamaliza
Baylon easy yeah ah
Chibonge nimekua kibaombao
Ghafla chui nimekua kinyau nyau
Mpaka sijui nayosema nimesahau
Vita ya penzi imekua kama maumau
Nikiona sura nakonda nikiona chura nasindwa kubonga
Nakua mbulura masikini omba omba
Kutwa nazurura kutuliza kidonda
Maumivu kama yangu anayo Konde Boy
Namtuliza mwanangu ahh usikonde boy
Macho yanaona yes akili inasema no nooo atakukazia
Macho yanaona kama umejibu yes moyo unaona kama umeseme no ooh ooh
Macho yanaona kama umejibu yes moyo unaona kama umeseme no no nonono
Yeah kusema kweli mi inaniumiza inanimaliza na sijamaliza
Inaniumiza inanimaliza na sijamaliza
Credits
Writer(s): Rajab Kahali
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Disclaimer:
i testi sono forniti da Musixmatch.
Per richieste di variazioni o rimozioni è possibile contattare
direttamente Musixmatch nel caso tu sia
un artista o
un publisher.