Rockol30

Testo Binadamu - Diamond Platnumz

Testo della canzone Binadamu (Diamond Platnumz), tratta dall'album Kamwambie

Eyoh...
Yoh I'm back Bob Junior, I'm back
Acha vita ianze
Wamechelewa
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya (wabaya)
Ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya (mbaya)
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
Mola, naomba nilinde niwe na upendo wa dhati
Wote niishi nao sawa
Nilipouanza mziki, mbali na dhiki
Nimekutana na matatizo sana
Sikuwa rafiki, sithaminiki
Bado kidogo mie tu nikate tamaa
Wangu moyo, ulivumilia dharau na masimango mi
Mi wangu moyo, ulivumilia utumwa na manyanyaso dih
Yaani nahangaika usiku kucha naambulia patupu
Nilikuwa naumia
Moyoni najipa moyo kesho ntakuwa maarufu
Mwisho wa siku nafulia
Ile nahangaika usiku kucha naambulia patupu
Nilikuwa naumia
Najipa moyo kesho ntakuwa maarufu
Mwisho wa siku nafulia
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya (wabaya)
Ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya (mbaya)
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
Mola, naomba nilinde niwe na upendo wa dhati
Wote niishi nao sawa
Kidogo nakula na mama yangu
Siwezi kuwasahau na ndugu zangu
Upendo popote alipo kwa baba yangu
Japo alinikataa
Aa bata nakulaga mi na rafiki zangu
Tunacheza Reggae na masikini wenzangu
Alazwe pepa peponi na bibi yangu
Mjukuu wake Sanana
Sababu ya ugumu wa maisha
Na maumivu ya mapenzi nikaandika "Kamwambie"
Ndo hapo hustle zikaisha, kabariki Mwenyezi watanzania wanizimie
Asa hivi kwenye tamasha tu likitajwa jina watu wanashangilia
Wengine furaha inazidi kina hadi kabisa wanalia
Asa hivi kwenye tamasha yaani ikitajwa jina watu wanashangilia
Wengine furaha inazidi kina hadi kabisa wanalia
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya (wabaya)
Ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya (mbaya)
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
Mola, naomba nilinde niwe na upendo wa dhati
Wote niishi nao sawa
Eii tena wabaya sana
Ouu wanakatisha tamaa
Eii uh wabaya
Tena wabaya
Ouu aah
Sana, wabaya sana
Wabaya sana
Mmh wabaya sana



Credits
Writer(s): Naseeb Abdul Juma Issack
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link

Disclaimer: i testi sono forniti da Musixmatch.
Per richieste di variazioni o rimozioni è possibile contattare direttamente Musixmatch nel caso tu sia un artista o un publisher.

Elenco artisti

© 2025 Riproduzione riservata. Rockol.com S.r.l.
Policy uso immagini

Rockol

  • Utilizza solo immagini e fotografie rese disponibili a fini promozionali (“for press use”) da case discografiche, agenti di artisti e uffici stampa.
  • Usa le immagini per finalità di critica ed esercizio del diritto di cronaca, in modalità degradata conforme alle prescrizioni della legge sul diritto d'autore, utilizzate ad esclusivo corredo dei propri contenuti informativi.
  • Accetta solo fotografie non esclusive, destinate a utilizzo su testate e, in generale, quelle libere da diritti.
  • Pubblica immagini fotografiche dal vivo concesse in utilizzo da fotografi dei quali viene riportato il copyright.
  • È disponibile a corrispondere all'avente diritto un equo compenso in caso di pubblicazione di fotografie il cui autore sia, all'atto della pubblicazione, ignoto.

Segnalazioni

Vogliate segnalarci immediatamente la eventuali presenza di immagini non rientranti nelle fattispecie di cui sopra, per una nostra rapida valutazione e, ove confermato l’improprio utilizzo, per una immediata rimozione.