Testo Nita Amini - Israel Mbonyi
Testo della canzone Nita Amini (Israel Mbonyi), tratta dall'album Nita Amini (Live)
Sasa naapa Hakuna miungu ntaamini.
Satajitia unajisi, Chakula cha ufalme.
Na Sitauza urithi wa wokovu, anasa za Kisasa.
NiNa uhakika waweza, waweza kuniponya,
Hata usipo niponya Sitaabudu Masanamu
Naelewa maji na moto nitapita, Kwenye uvuli wa mauti
Nina wewe sitaogopa kamwe
Mungu wangu wanishika mkono,Wautuliza moyo wangu,
Si na mashaka wanibeba mgongoni
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
Hata usiyafanye hayo yoote
Bado nitaamini
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
Hata usiyafanye hayo yoote
Bado nitaamini
Sasa naapa Hakuna miungu ntaamini
Satajitia unajisi, Chakula cha ufalme
Na Sitauza urithi wa wokovu, anasa za Kisasa
NiNa uhakika waweza, waweza kuniponya,
Hata usipo niponya Sitaabudu Masanamu
Naelewa maji na moto nitapita, Kwenye uvuli wa mauti
Nina wewe sitaogopa kamwe
Mungu wangu wanishika mkono,Wautuliza moyo wangu,
Si na mashaka wanibeba mgongoni
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
Hata usiyafanye hayo yoote
Bado nitaamini
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
Hata usiyafanye hayo yoote
Bado nitaamini
Si Mara ya kwanza kunitowa katika magumu
Ni na ushuhuda zaidi ya moja, We ni mwaminifu
Ni na historia maalum,We ni chemchemi ya uzima.
Si Mara ya kwanza kunitowa katika magumu
Ni na ushuhuda zaidi ya moja, We ni mwaminifu
Ni na historia maalum,We ni chemchemi ya uzima.
Si Mara ya kwanza kunitowa katika magumu
Ni na ushuhuda zaidi ya moja, We ni mwaminifu
Ni na historia maalum,We ni chemchemi ya uzima.
Naelewa maji na moto nitapita, Kwenye uvuli wa mauti
Nina wewe sitaogopa kamwe
Mungu wangu wanishika mkono,Wautuliza moyo wangu,
Si na mashaka wanibeba mgongoni
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
Hata usiyafanye hayo yoote
Bado nitaamini
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
Hata usiyafanye hayo yoote
Bado nitaamini
Nitaamini,
Bado nitaamini
Ukiniponya nitaamini,
Hata usiniponye bado nitaamini
Ukinijibu nitaamini,
Hata usinijibu bado nitaamini
Ukibadilisha nitaamini,
Hata usibadilishe bado nitaamini
Kwenye uvuli wa mauti bado nitaamini
Nina ushuhuda,
Wewe ni mwaminifu "
Nitaamini,
Bado nitaamini
Ukiniponya nitaamini,
Hata usiniponye bado nitaamini
Ukinijibu nitaamini,
Hata usinijibu bado nitaamini
Ukibadilisha nitaamini,
Hata usibadilishe bado nitaamini
Kwenye uvuli wa mauti bado nitaamini
Nina ushuhuda,
Wewe ni mwaminifu "
Nitaamini,
Bado nitaamini
Ukiniponya nitaamini,
Hata usiniponye bado nitaamini
Ukinijibu nitaamini,
Hata usinijibu bado nitaamini
Ukibadilisha nitaamini,
Hata usibadilishe bado nitaamini
Kwenye uvuli wa mauti bado nitaamini
Nina ushuhuda,
Wewe ni mwaminifu "
Nina ushuhuda,
Wewe ni mwaminifu "
Nina ushuhuda,
Wewe ni mwaminifu "
Nina ushuhuda,
Wewe ni mwaminifu "
Kwenye uvuli wa mauti bado nitaamini
Nina ushuhuda,
Wewe ni mwaminifu "
Nitaamini
Nitaamini
Nitaamini
Nitaamini...
Nitaamini
Nitaamini
Nitaamini...
Credits
Writer(s): Alvin Handro
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Disclaimer:
i testi sono forniti da Musixmatch.
Per richieste di variazioni o rimozioni è possibile contattare
direttamente Musixmatch nel caso tu sia
un artista o
un publisher.